Tuesday, August 30, 2011

ZIMEBAKI SIKU CHACHE.....





Watanzania sasa zamu ya kupata uhondo wa onyesho la Jukwaani lilisukwa na kusukika kwa kiwango cha kimataifa unazidi kukaribia..Ni kutoka kwa kudi mahiri la sanaa za maonyesho nchini,la Parapanda Theatre Lab

No comments: