Thursday, February 10, 2011

THE SHOW WAS LIKE THIS..........

Eva Nyambe akisimulia Hadithi


 
                          Wanawake wa Patata wakiwa taabani baada ya kushindwa kuinua NGUZO MAMA.


Kutokea kushoto: Profesa Penina Mhando Mlama, mwandishi wa NGUZO MAMA na nguli wa sanaa za maonyesho akiwa na Profesa Amandina Lihamba ambaye pia ni mwandishi mahiri wa tamthiliya za kiswahili na mkufunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam, wakishuhudia onyesho la Parapanda Theatre Lab katika ukumbi wa Russian Culture Centre.


No comments: